Ni muda mrefu sana umepita tangu tujumuike pamoja pale Soma Mkahawani,sasa ni wasaha mwingine tena wa kujumuika pamoja na kusherehekea kwa pamoja kama ilivyofanyika kipindi kile.
Swali ni je mtapendelea tujumuike kwa pamoja lini,na wapi,na michango iwe ni kiasi gani kwa kila mwanakijiji????
Tunaomba conclution basi jamani! mbona tuarudia kitu kile kile! Location ni muhimu sana kama wadau wanavyosema! ila kwa reserch niliyoifanya!! mmmm!!! sehemu zote usafiri ni gumzo!!! kwa hy ni bora tukafikia muhafaka na siyo kuendelea kulijadili hili la usafiri kila leo! penye nia pana njia! tukutane! tule raha! masuala ya usafiri yatajiseti tuu! kwanza kwa wanaume si tutakesha hadi asubuhi!!! kwa wale watakao taka kurudi makwao tutapitisha kamchango wapate safiri.....mind u!!! siyo wote watataka kurudi home!!! so let do it!!!!
Mimi naomba kumjua msimamizi wa shughuli nianze kuuwakilisha mchango wangu!!!!
Yes! yes! Pale ni pazuri sana! na ww mtoto mzuri ! ulipelekwa pale na nani! Ila ni pazuri sana,pako quet,karibu na barabara na usafiri ni resonable kabisa!
Kwa kweli kukutana ni muhimu sn, wa nakijiji wametoa maoni yao mazuri tu, sasa mi kwa mtazamo wangu finyu ni kuwa: "Mzee wa Ulimi" Jr ayapitie kwa kina mapendekezo yote na kuyapembua kwa uzuri kabisa hlf tuone wengi wetu tumependekeza lipi ili lichukuliwe na kufanyiwa kazi ikibidi ndio liwekwe tangazo rasmi la kwamba tunakutana lini, wapi na gharama husika kwa kila mmoja wetu ni kiasi gani.
Kwa kweli kukutana ni muhimu sn, wa nakijiji wametoa maoni yao mazuri tu, sasa mi kwa mtazamo wangu finyu ni kuwa: "Mzee wa Ulimi" Jr ayapitie kwa kina mapendekezo yote na kuyapembua kwa uzuri kabisa hlf tuone wengi wetu tumependekeza lipi ili lichukuliwe na kufanyiwa kazi ikibidi ndio liwekwe tangazo rasmi la kwamba tunakutana lini, wapi na gharama husika kwa kila mmoja wetu ni kiasi gani.
Ngoja nijibu swali moja kwa moja kabla sijasahau. Kuhusu lini tukutane kwa mtazamo wangu nadhani ikiwezekana kwanza tukutane jumapili ya tarehe 18/10/2009 pale chaga bite halafu tukiwa pale mambo yote yatapangwa laivu. Nadhani tunaweza tukafikia muafaka mzuri zaidi na kuhusu michango kuna uwezekano mkubwa fedha zikaanza kukusanywa siku hiyo hiyo kwa yule atakayekuwa nazo. Hayo ni maoni yangu tu.