FotoBaraza.Net

Nilikuwa natoa ombi kwa wadau wote mnaoishi au kusoma UK (England, Wales & Scotland) tupate kukutana weekend moja. Naelewa kuwa wengi wetu tuko busy na kazi, masomo, families, etc. lakini twaweza panga weekend moja tukutane. Sijui mnafikiriaje kuhusu suala hili? Iwapo mnaona ni wazo zuri (YOUNG wakubaliana nami 100%), naomba tuchague sehemu ambayo itakuwa rahisi for transport kwa wote ili tukutane tupate kuonana/kujuana na ikibidi kuongelea kuhusu Yatima Wetu na mambo mengineyo kimaisha, etc.
Hata wale waishio nje ya UK na wanapenda kuhudhuria vilevile wanakaribishwa wote. Chibiriti, Chaoga, Michuzi, Jr, Pascal, etc. mnakaribishwa pia kuwakilisha… LOL…


Shirikisha Twitter

Jibu Hoja Hii

Michango ya Mjadala Huu

Tutafurahi kusikia siku mkikutana, nami ntajumuika walau kwa mtandao!

Jibu Hoja Hii

ni kweli Dr Stiba..

Jibu Hoja Hii

Safi sana dada! kwa mwendo huo, siku moja Fotobaraza itakuwa zaidi duniani kote. Kwa walio nje ya nchi igeni mfano wa Mama Malaika.

PamoJah

Jibu Hoja Hii

Mimi niko teyari nitakuja kwa hali na mali na Oswaard kwa kuwa unaniwakilishaga kule Nyumbani sasa hapa nitakuwakilisha lakini naomba haya ipangwe wiki mbili kabla na iwe siku za wiki end ili tuweze kupata nafasi kama itawezekana
MUNGU AKUBARIKI ULIE TOA WAZO HILI AMINI

Jibu Hoja Hii

Wazo zuri sna kama itakuwa karibia na Xmass naweza udhuria lol hehehe hehhe au si ruhusiwi mama??? Amani kwa wote!

Jibu Hoja Hii

Unaruhusiwa Vadonde.... ila itakuwa shughuli Denzil akikuona. LOL.....

Jibu Hoja Hii

Mkwe shikamoo niwakilishe...eee

Jibu Hoja Hii

Marahaba! Usijali mkwe nitakuwakilisha.

Jibu Hoja Hii

Pamojah tunaweza na umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu,wadau tukutane kwa manufaa ya wengi na wote kwa jumla.pamojah we can...

Jibu Hoja Hii

Nakuunga mkono Mama Malaika, ni vyema wadau wa sehemu za karibu wakawa wanakutana mara kwa mara na kuwakilisha. Natumaini kina Cherry watatuwakilisha huko. Tunawatakia mafanikio mema na msisahau picha.lol.

Jibu Hoja Hii

NIPO NAWE MAMA M,YOUNG WW TAFUTA ENEO LA MAKULAJI DATA ZANGU MAMA M ANAZO.

Jibu Hoja Hii

mie kama ikichelewa kidogo tu mpaka mwanzoni mwakani nitamtuma dada angu kuniwakilisha!! wazo zuri sana kufahamiana naona faida yake hapa bongo!!

Jibu Hoja Hii

RSS

Besdei za Kuzaliwa

© 2010   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter