FotoBaraza.Net

Nilikuwa natoa ombi kwa wadau wote mnaoishi au kusoma UK (England, Wales & Scotland) tupate kukutana weekend moja. Naelewa kuwa wengi wetu tuko busy na kazi, masomo, families, etc. lakini twaweza panga weekend moja tukutane. Sijui mnafikiriaje kuhusu suala hili? Iwapo mnaona ni wazo zuri (YOUNG wakubaliana nami 100%), naomba tuchague sehemu ambayo itakuwa rahisi for transport kwa wote ili tukutane tupate kuonana/kujuana na ikibidi kuongelea kuhusu Yatima Wetu na mambo mengineyo kimaisha, etc.
Hata wale waishio nje ya UK na wanapenda kuhudhuria vilevile wanakaribishwa wote. Chibiriti, Chaoga, Michuzi, Jr, Pascal, etc. mnakaribishwa pia kuwakilisha… LOL…


Shirikisha Twitter

Jibu Hoja Hii

Michango ya Mjadala Huu

Safi sana mama malaika! mimi nimeongea na Vadone na Dunda! wataniwakilisha! ni jambo zuri sana kukutana na kubadilishana mawazo!

Jibu Hoja Hii

ni kweli Oswald... nashukuru kwa kuwa unawakilishwa. Nitapenda kuwepo maoni na mada nyingi tu kuanzia Yatima Wetu, Albino, matatizo ya kina mama, etc. Hivyo mchango wako kimawazo nimuhimu sana.

Jibu Hoja Hii

As long as patakuwa na European beers hamna shida. Ngoja tukusanye nauli nasi tuje tujumuike na wadau wa Ulaya. Ni wazo zuri mama malaika, kama mtafanikiwa kukutana. Magere atakuja na Whisky yake ya kichina anasema inawasha moto!

Jibu Hoja Hii

Ha ha ha ha ha ha. TBL nahisi wanakuandalia zawadi Mkuu Pascal

Jibu Hoja Hii

Hapo ndipo mtakapokutana kwenye huo mjengo au?

Jibu Hoja Hii

Sio hapo Pascal.... hapo ni House of Lords & House of Commons.

Jibu Hoja Hii

Dada umewakaribisha wote ila umemsahau Mgonzwa na Magere!

Jibu Hoja Hii

Nilivyosema wadau walioko nje ya UK pia wanakaribishwa nilimaananisha wote kina Mgonzwa, Magere, Astol, Dunda, na wengineo wote wote...

Jibu Hoja Hii

Magere yupo Germany bwana Pascal

Jibu Hoja Hii

Hata wa Germany wanakribishwa pia...

Jibu Hoja Hii

Mimi ninaunga mkono kwa 150% wazo lako mama Malaika na wadau wa uk tujipange na tukutane kama mama alivyoshauri na sehemu nzuri itategemea na wadau wengi wako upande gani,kwa upande wangu sehemu yoyote itakayopangwa nitakuwepo,wadau wa Uk Tafadhali Dada Cherry pale na wengine wote plz

Jibu Hoja Hii

Asante sana sana YOUNG. Ngoja tuwasikie wengine wanasemaje...

Jibu Hoja Hii

RSS

Besdei za Kuzaliwa

© 2010   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter