Kuna habari imeripotiwa kuwa hadi sasa watu 12 ambao ni moja ya wapenzi wa mwanamuziki maarafu wa Pop duniani (Michael Jackson) aliyeaga dunia wiki iliyopita, nao wameamua kufupisha maisha yao kwa kujiua (commit suicide) sababu ya majonzi. Sizani Michael Jackson mwenyewe angependa kitu hiki kitokee kwa wapenzi wake.... Sijui wenzangu mnaonaje hoja hii...????
Hiyo ni tabia ya watu waoga wasioweza kukabiliana na matatizo wanaamini kifo ni suluhisho la tatizo.....nani acyempenda huyo?wakumbuke kila chenye uhai kuna kifo ndani yake...asalam aleykum wadau
Ebwan mie nashangazwa kiasi kikubwa na mtu anae amua kujitia muhanga kiasi cha kuyaona maisha yake mwenyewe hayana umuhimu. Lkn ninachotaka kusema hapa ni kwamba jamani, kitendo cha kujiua kipo inje ya maadili ya dini zote za mungu hivyo basi inawezekana hawa watu hawamjui mungu wala hatambui kitu gani kitakuwepo baada ya maisha haya ya duiniani.
akili ni nywele kila mtu ana zake, ndio maana kuna vipara, vipilipili, siwalaumu inawezekana ndio mpangilio wa maisha yao ya kuishi ilikuwa wanaishi kwa pumzi yake