Hapa naona ni uwanja mpana sana!
maana undugu upo wa aina nyingi kutegemeana na jinsi mtu atakavyodefine mwenyewe.
Kutokana na Bilogical points of view inawezekana huyu ndugu wa damu akawa ni yule mliezaliwa nae toka kwa mzazi mmoja kama ulivyodai hapo juu.
lakini pia huyu ndugu mliezaliwa nae toka kwa mama mmoja au baba mmoja inawezekana mkawa hamna group moja la damu sasa siji hapo utamkataa kuwa sio ndugu yako wa damu???(mimi sijui)
kwa mtazamo na mawazo yangu ndugu wa dam ni yule mliyezaliwa mama mmoja maana hapo kunakuwa hakuna utata kwamba wote mmetoka ndani ya tumbo la mama husika.