jamaniee hii nimeikuta kule kijiji cha jirani!kwakweli imenifanya wkend yangu iishe kwa kicheko,naomba kushare na nyie.swali la kivushi.....!
Dear Gentlemen!
HIVI MAISHA YETU SS WANAUME YANGEKUWAJE KAMA UUME ULIOSIMAMA (ERECT PENIS) UNGEKUWA UNAPIGA MLUZI..?????? (WHISTLING LOUD)
imagine, kwenye daladala, msikitini, kanisani,ofcn...etc!
tena mluzi ungekuwa unatoka kulingana na ukubwa wa chululu yako. The bigger the uume the more the more the whistle!! Vadonde na Jack mbona sisi hatuingii kitchen party zenu? Ni nini hasa mtakacho?. Oswald watoe watu wako,wewe ndo una dhamana ya kulinda geti maana wewe ni mmasai tena unaeweza piga mluzi mdogo!