jamaniee hii nimeikuta kule kijiji cha jirani!kwakweli imenifanya wkend yangu iishe kwa kicheko,naomba kushare na nyie.swali la kivushi.....!
Dear Gentlemen!
HIVI MAISHA YETU SS WANAUME YANGEKUWAJE KAMA UUME ULIOSIMAMA (ERECT PENIS) UNGEKUWA UNAPIGA MLUZI..?????? (WHISTLING LOUD)
imagine, kwenye daladala, msikitini, kanisani,ofcn...etc!
tena mluzi ungekuwa unatoka kulingana na ukubwa wa chululu yako. The bigger the uume the more the more the whistle!! Vadonde na Jack mbona sisi hatuingii kitchen party zenu? Ni nini hasa mtakacho?. Oswald watoe watu wako,wewe ndo una dhamana ya kulinda geti maana wewe ni mmasai tena unaeweza piga mluzi mdogo!
hahaha mkuu inamaana tungegundua milusi proof!! ingekuwa vipi kwenye shindano la kumsaka miss tz alafu muda wa vazi la ufukweni, kelele zake duh milusi ya kina lu..denga ingekuwa vipi? ni mawazo tu
Araway umekuwa matawi loo sasa umesingizia mafuta umepewa ofa hujajibu mhh umeshaanza kuweka ugumu siku ya jumamosi loo wewe unatakaje au unataka uwe pedeshee that day au unataka kama siku ile nilipokukuta kaunta ya juu hata maana sikumbuki uliondoka saa ngapi?bwana uje wangu loo nimekumiss kwelikweli tokea mwaka jana sijakuona...
Kudadadako!! Hivi umefikiria nini we kijana hadi kuamua kuja na hii kali kihivii:) Kweli ingekua issue.... Hasa pale wanapotokea maduu wakaliii mzeyaaa!!!!