FotoBaraza.Net

Habari zenu mabibi na mabwana?
Mnaweza kunipa madhara ya USAGAJI? ninaposema usagaji nina maanisha Ufanyaji wa ngono kati ya mwanamke na mwanamke! nadhani mmenielewa!
Naombeni majibu yenu
Thanx

Shirikisha Twitter

Jibu Hoja Hii

Michango ya Mjadala Huu

Mmhh nipe homework

Jibu Hoja Hii

ok fikiria zaidi, hii kitu ipo my dear....na sasa naulizia MADHARA
thAnX

Jibu Hoja Hii

lucie kwani vipi mwenzetu??

Jibu Hoja Hii

Lucie mama kinu mwenzake mchi huuu...sasa kinu kwa kinu mtatwangaje??

Jibu Hoja Hii

hili nalo neno!

Jibu Hoja Hii

Hiki choo cha kike. ngoja nikae mbali. kwani lucie unapita pita huko ama?

Jibu Hoja Hii

Unaruhusiwa kujibu hivi v2 viko ktk hii jamii wangu,

Jibu Hoja Hii

Hahahahaaaa ngoja tumsubiri dada nanihiii aje kuchangia, maana ndo mtaalam sana wa mambo haya.

Jibu Hoja Hii

Lucie! Lucie! si unawaona wadau walivyo shtuka kwa swali lako!!
Sasa ata mimi nimeanzakupata picha ya maswali yangu ya kila siku juu yako ww!!
ILa........kwa ninavyojua mimi,kila jambo au kitu chochote! kina advantage na disadvate zake!
Kwa hili la kwako mama ni hasara tupu!! hakuna fahida yyt! kwanza...wanawake wanaosagana uambukizwaji wa HIV kwao ni mkubwa sana kutokana na njia wanayoitumi!! naiweka kwenye mabano! pia hawawezi pata mtoto! na pia uwezekanano wa kuja kumpata mwanaume na aridhike naye inakuwa ngumu kutokana na mwanamke msagwaji au msagaji hawanaga hamu na wanume kabisaaaaaaa!!!!
kwahy mdogo wangu! kama ulitaka kuji invest kwenye hicho chama!! don't do it!! we Love u Lucie! ata mzeee wa Domziiiiiii!! amekushangaa sana!!

Jibu Hoja Hii

Sijasema kama nataka kujiunga ila nilitaka kujua hasara zake, Nijuavyo mm kuna faida lkn hasara siijui so nilikuwa nataka majibu tu! Hata hivyo asante umenifungua macho japo si saaana.
Ndiyo kila kitu kina faida na hasara, sasa nataka kujua hasara ya haya mambo. Kama mjuavyo madhara ya ushoga basi mnipe na madhara ya usagaji.
Pa1 wangu,

Jibu Hoja Hii

lucie nisaidie namimi nijue faida zake namimi nitakupa madhara yake p'se sijuagi ati!

Jibu Hoja Hii

Lucie vipi unanafaka nyingi sana nini umeshindwa kuzikoboa unataka zisagwe?
samahani kama swali nimeliewewa vibaya

Jibu Hoja Hii

RSS

Besdei za Kuzaliwa

© 2010   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter