FotoBaraza.Net

CHA the Great

HA! HA! HA! HA! HA! HA! HA! SIAMINI KAMA MAMBO HAYA YAMETOKEA HUMU.....

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
Jamani kuweni waangalifu sana.....Unajua hakuna siri ya wawili....wahusika wanajijua, nawaeleza kuwa mambo mengine hayapendezi.
Yaani sina mbavu.
Kwe kwe kwe
Kwe kwe
Ingekuwa wewe imekutokea ingekuaje?
PamoJah

Shirikisha Twitter

Jibu Hoja Hii

Michango ya Mjadala Huu

mhh

Jibu Hoja Hii

Mhhhhhhhh! Haiwezekani kabisa!!!!!!
Hii inathibitisha kuwa kweli umepewa kitu kidogo ukae kimya, noma sana mkuu.

Anyway, ila kwa upande mwingine ni bora umepata vijisenti vya kutanulia pale Msasani Beach, na wahusika pia umewafichia siri ili wasiadhirike na kukimbia kijiji!

AMANI KWAKO!

Jibu Hoja Hii

Mhhh! basi ukiona hivyo ujue jamii yetu ya kitanzania ina matatizo,yani watu wanaunganishwa/wanarudishwa ktk mazungumzo au mkusanyiko kwa kutengeneza ugomvi namna hii.

Jibu Hoja Hii

Ha ha ha ha ha ha Dada Cherry hakuna tatizo, ilikuwa kufurahisha kijiji tu.

PamoJah

Jibu Hoja Hii

CHA utaponaje jipu bila ya kuwa na maumivu?mmhh

Jibu Hoja Hii

sasa si mseme kama hamsemi basi mlioanzisha ndio mmefanya

Jibu Hoja Hii

RSS

Besdei za Kuzaliwa

© 2010   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter