Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
Jamani kuweni waangalifu sana.....Unajua hakuna siri ya wawili....wahusika wanajijua, nawaeleza kuwa mambo mengine hayapendezi.
Yaani sina mbavu.
Kwe kwe kwe
Kwe kwe
Ingekuwa wewe imekutokea ingekuaje?
PamoJah
Asante sana mkuu CHA.
Huu mjadala unanikumbusha kisa fulani nilikisoma kitambo kidogo,ambapo, mshikaji mmoja aliyeibiwa mke wake aliingia bara na kuchimba mkwara; "Aliye na mke wangu ajiandae na umauti" kutahamaki baa ilibaki tupu sababu wadau wengi walikuwa wezi wa usingizi wa watu wengine
Sasa huu mjadala nauona unalenga kuibua underground issues that are happening at fotobaraza
Watu wasio na nia nzuri na kijiji,pamoja na wale wanaoshindwa kujiheshimu wote wataanza kujishuku - kila mtu; "nalengwa mimi nini na ile ishu yangu?"
Safi sana mkuu CHA kwa mjadala wa kifalsafa.
Pia inawezekana kuwa kuna watu washaharibu humu
tchawo