Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
Jamani kuweni waangalifu sana.....Unajua hakuna siri ya wawili....wahusika wanajijua, nawaeleza kuwa mambo mengine hayapendezi.
Yaani sina mbavu.
Kwe kwe kwe
Kwe kwe
Ingekuwa wewe imekutokea ingekuaje?
PamoJah
hahahahaaa huu mjadala kuuchangia kwakweli inakuwa ngumu, CHA ni bangi au umelewa? Hebu basi jaribu kuweka wazi kidogo tu tujue moja! Ina maana ni kuhusu Tshirt za pamoja au?
Cha! jamaika inakupeleka kubaya wangu!! mbona unatuacha gizani!! ila kwa ku gase!! hii ina muhusu Dismas na ..............wake!! kama nimekosea inabidi utuweke wazi,isije ikawa inanihusu mimi! hahahahah!
Permalink Reply by Dada on Novemba 3, 2009 at 6:00pm
wee ulidhani kuna siri ya watu wawili katika dunia hii,mmoja kati ya wawili hawa alinambia nami nikastaajabu ile mbaya, ila ndivyo dunia ilivyo, wahusika wa sakata hili be careful na mambo yenu.
Pamojah
Jamani! Leo mmefikia hatua ya kuniita bedui!! laa haula!! ila mvua lazima itamshukia mtu siku moja!!!! Ishu hii inawahusu wawili hawa wasio jua mambo yale yanafanywa muda gani! sasa wame naswa na Camera zetu!! very soon tunaziweka picha zao na kujitoa Fb!!!! hahahahah!! kaeni mkao wa kuliwa!!!