FotoBaraza.Net

JAMII (489)

Mijadala Replies Yaliyojiri Muda Mfupi Uliopita
Mtarajiwa

Mfano......

Hivi tuseme kwa mfano, Serikali ya sasa inasema inajivunja sababu ya kashfa na ufisadi. Unafikiri nini kitatokea Tanzania? au ni nani tunaw…

Umeanzishwa na Mtarajiwa

4 Jun. 8, 2008
Jibu la Mtarajiwa
Haki Ngowi

ingekua Vipi?

Hebu wadau tu tafakari ingekua vipi kama mzungu nae angekuja kwenye nchini moja ya africa nae akagombania kiti cha urais,kwa maana imekaa v…

Umeanzishwa na Haki Ngowi

13 Jun. 7, 2008
Jibu la Chaoga Tonge
Father Kidevu

Viingilio Mechi kati ya Stars na Cameroon

TFF imetangaza viingilio vya mechi kati ya Taifa Stars na Cameroon na viingilio hivyo kulallamikiwa sana na wapenzi wa soka kutokana na kuw…

Umeanzishwa na Father Kidevu

4 Jun. 7, 2008
Jibu la Ntalii shaushi Akyoo
steve

JE HUYU MTU AMEWATENDEA HAKI WALENGWA KWENYE HII COMMENT BLOG YA MICHUZI

NIMEONA HII COMMENT KWENYE BLOG YA MICHUZI.MIMI BINAFSI NAPINGA SANA WANAWAKE/WANAUME WANAOJICHUBUA NASIKIA KINYAA SANA ILA HUU USTARAABU A…

Umeanzishwa na steve

11 Mei. 30, 2008
Jibu la Father Kidevu
Sophie

Chuki inapozidi

good people, nashawishika kuzungumzia maafa yanayowakumba wenzetu huko afrika kusini. hivi kweli huu ni utu? maana nimefikiria hadi nimeshi…

Umeanzishwa na Sophie

2 Mei. 29, 2008
Jibu la Mama Malaika
Father Kidevu

Magazeti Tando je yanamchango katika jamii?

Naomba kuwasilisha mjadala huu, Je magazeti tando (BLOG) tunazowapa kila siku ili kupata habari je zinasaidia harakati za upashanaji habari…

Umeanzishwa na Father Kidevu

5 Mei. 29, 2008
Jibu la Mama Malaika
Hassan Yahya Hussein

wanaopenda utabiri wa Sheikh Yahya Hussein

Mzee wetu ameanzisha Website kuwasaidia wananchi wanaopenda mambo ya Nyota. Web Hiyo ni www.astrosheikhtz.com, humo kuna mambo mengi sana,…

Umeanzishwa na Hassan Yahya Hussein

0 Mei. 27, 2008
Mkwaya

Sullivan Summit In Arusha

kufuatia mkutano wa Sullivan Unaotarajiwa kufanyika mjini Arusha mwezi june mwaka huu, Manispaa ya Mji wa Arusha imeagiza watoto wote wanao…

Umeanzishwa na Mkwaya

11 Mei. 27, 2008
Jibu la EDO NDAKI
Jozzee

utaratibu huu SUMATRA waraumiwe au ABIRIA

nawaomba wana fotobaraza wote hasa wale waishio jiji dar-es-salaam kuhusu suala la usafiri hasa kipindi cha jiono na asubuhi kumezuka huu u…

Umeanzishwa na Jozzee

0 Mei. 27, 2008
Ntalii shaushi Akyoo

SOUTH AFRICA KUWAUWA WAGENI WEUSI WENZAO JE HUU BADO NI UBAGUZI?

Bila shaka ndugu wenzangu mna habari kuhusu yaliyotokea huko Africa ya Kusini. watu wapatao 22 wameuwawa na wengine wanapata hifadhi polisi…

Umeanzishwa na Ntalii shaushi Akyoo

11 Mei. 25, 2008
Jibu la Father Kidevu

RSS

Besdei za Kuzaliwa

© 2010   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter