FotoBaraza.Net

JAMII (469)

Mijadala Replies Yaliyojiri Muda Mfupi Uliopita
Mama Malaika

Mkutano Fotobaraza - United Kingdom

Ndugu wapendwa napenda kuwataarifu kuwa kutakuwa na mkutano kwa wana Fotobaraza hapa UK, siku ya Jumamosi ya tarehe 19 mwezi Dec. mjini L...

Umeanzishwa na Mama Malaika

21 masaa 3 yaliyopita
Jibu la NYAU
Maingu

Kuiga kwingine ,,.....!!!

Sasa unatoka umevaa fulana kama hiyo kisha unajiona mjanja kabisaaa,.... Duuh!!

Umeanzishwa na Maingu

8 Nov 25
Jibu la Don Magere
CHA the Great

MWAKA 2009 UNAELEKEA KUISHA...NI KITU GANI KIMEKUFURAHISHA, KUKUHUZUNISHA, KUKUSHANGAZA AU KUKUKERA?

Amani iwe nanyi wote. Ni mwezi wa 11 na zimebaki siku chache kuweza kukamilika kwa mwaka huu wa 2009. Kuna mengi yaliyotokea katika duni...

Umeanzishwa na CHA the Great

18 Nov 24
Jibu la Elly Elly
Maingu

Je,yuko sahihi kufanya hili,..?

Linda toka Dar ni msichana mrembo na ana mpenzi wake kwa zaidi ya miaka miwili sasa na hata wazazi wao wanalijua hilo.Wazazi wa kijana wa...

Umeanzishwa na Maingu

3 Nov 21
Jibu la clara
Dr. Stiba

TUFANYEJE ILI KUPIGA HATUA ZENYE TIJA?

Wanakijiji wenzangu nachukua fursa hii kuja na wazo la kutafuta muendelezo wa mjadala wetu uliopita wa "NI YAPI MALENGO YA KUKUTANA KWA W...

Umeanzishwa na Dr. Stiba

24 Nov 19
Jibu la Dunda
Dr riziki

Hii si haki kwa kweli !!!!!!?

Fungua attachment ujionee MAELEZO YA PICHA YA DADA YETU WA FOTO BARAZA MS MWANGOMO

Umeanzishwa na Dr riziki

7 Nov 18
Jibu la Dr riziki
Bonny

True Story: Utafanya nini kama umeitwa kusuluhisha?

One Friday morning, John woke up hurriedly and prepared for work. He worked in a busy institution and was expected early at work. His wif...

Umeanzishwa na Bonny

1 Nov 16
Jibu la Mabagala
ABDALLAH MWETA    aka   ABBY

TAARIFA YA KIKAO

Jamani me nilikuwa chuo morogoro kwa hiyo nipeni ripotiiiii ya kikao

Umeanzishwa na ABDALLAH MWETA aka ABBY

0 Nov 16
Don Magere

CHA!!!Kiswahili chetu cha kuandika ni kibaya na kibovu!!!!!!

CHA kipindi cha nyuma ulikuwa makini katika kukosoa wale wote wenye matumizi mabovu ya kiswahili lakini kwa sasa umeacha kazi hiyo. Kiswa...

Umeanzishwa na Don Magere

31 Nov 15
Jibu la clara
Bigambo

NDUGU WA DAMU NI YUPI?

Yupi kati ya hawa ni ndugu yako wa damu hasa 1. Mliyezaliwa na Baba mmoja au (mnayechangia baba) 2. Mliyezaliwa na Mama mmoja? (mnayech...

Umeanzishwa na Bigambo

9 Nov 13
Jibu la Mabagala

RSS

Kuhusu

Babukadja Babukadja created this Ning Network.

Besdei za Kuzaliwa

Hakuna Besdei ya Kuzaliwa leo

© 2009   Created by Babukadja on Ning.   Create a Ning Network!

Beji  |  Report an Issue  |  Faragha  |  Terms of Service

Sign in to chat!
Free Web Counter
Hit Counter